PROF. MBARAWA AKAGUA CHUO CHA MABAHARIA (DMI)


Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akitoa maelekezo kwa Mkuu wa Chuo cha Mabaharia cha Dar es Salaam (DMI) Eng. Yassin Songoro katika ziara yake ya kukagua Chuo hicho jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Chuo cha Mabaharia cha Dar es Salaam (DMI) Eng. Yassin Songoro (katikati) akimuongoza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa kukagua madarasa ya Chuo hicho.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akikagua dira ya kuongozea meli (compass) katika moja ya darasa la Chuo hicho. Kulia ni Mkuu wa Chuo cha DMI Eng. Yassin Songoro.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa (mwenye tai) akikagua mitambo ya kuongozea meli katika moja ya madarasa ya chuo cha DMI wakati wa ziara yake chuoni hapo.

SHARE
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment