Afisa Rasilimali wa watu, Mubaraka Kibarabara (wa tatu kushoto),
akiwafunza watoto, wakati wa program maalum ya Airtel inayowawezesha
watoto wa wafanyakazi wao kutembelea ofisi za Airtel na kupata wakati wa
kujifunza na kuona mambo mbalimbali yanayofanywa na wazazi wao wakiwa
ofisini kila siku.
Mkurugenzi wa mtandao wa Airtel Tanzania, Franky Filman, akimfundisha
motto jinsi ya kutumia mashine ya kutoa copy wakati wa program maalum
ya Airtel inayowawezesha watoto wa wafanyakazi wao kutembelea ofisi za
Airtel na kupata wakati wa kujifunza na kuona mambo mbalimbali
yanayofanywa na wazazi wao wakiwa ofisini kila siku.
Afisa Rasilimali wa watu, Mubaraka Kibarabara akiongea na mwandishi
wakati wa program maalum ya Airtel inayowawezesha watoto wa wafanyakazi
wao kutembelea ofisi za Airtel na kupata wakati wa kujifunza na kuona
mambo mbalimbali yanayofanywa na wazazi wao wakiwa ofisini kila siku.
Zoeylina Mabere akiongea na mwandishi wakati wa program maalum ya
Airtel inayowawezesha watoto wa wafanyakazi wao kutembelea ofisi za
Airtel na kupata wakati wa kujifunza na kuona mambo mbalimbali
yanayofanywa na wazazi wao wakiwa ofisini kila siku.
Secelela Ngadada akiongea na mwandishi wakati wa program maalum ya Airtel inayowawezesha watoto wa wafanyakazi wao kutembelea ofisi za Airtel na kupata wakati wa kujifunza na kuona mambo mbalimbali yanayofanywa na wazazi wao wakiwa ofisini kila siku.
0 comments:
Post a Comment