Mwalimu
wa masomo ya Sayansi wa shule ya sekondari ya Mtakuja iliyopo Kunduchi
Mbezi beach jijini Dar es Salaam, Elibariki John akiwaelekeza
wanafunzi wa kidato cha pili, Jacqueline James(kushoto) na Ibrahim
Juma wa shule hiyo jinsi ya kutafuta taarifa za maarifa ya masomo ya
sayansi kwa njia ya kompyuta mpakato zilizotolewa msaada na Vodacom
Foundation miezi mitatu iliyopita kupitia mradi wake wa kompyuta
mashuleni unaoendeshwa na Learning In Sync.
Baadhi ya wanafunzi wa kidato cha pili wa shule ya sekondari ya Mtakuja
iliyopo Kunduchi Mbezi beach jijini Dar es Salaam, wakiendelea kujifunza
masomo mbalimbali kupitia kompyuta mpakato zilizotolewa msaada na Vodacom Foundation miezi mitatu iliyopita kupitia mradi wake wa kompyuta mashuleni unaosimamiwa na Learning In Sync.
iliyopo Kunduchi Mbezi beach jijini Dar es Salaam, wakiendelea kujifunza
masomo mbalimbali kupitia kompyuta mpakato zilizotolewa msaada na Vodacom Foundation miezi mitatu iliyopita kupitia mradi wake wa kompyuta mashuleni unaosimamiwa na Learning In Sync.
Mariam
Mwishaha na Khairat Massoud - wanafunzi wa kidato cha pili wa shule ya
sekondari ya Mtakuja iliyopo Kunduchi Mbezi beach jijini Dar es Salaam
wakimsikiliza kwa umakini Mwalimu wa masomo ya Sayansi wa shule hiyo,
Elibariki John (kushoto) wakati akiwafundisha masomo hayo kupitia
kompyuta mpakato walizopatiwa msaada na Vodacom Foundation miezi mitatu
iliyopita kupitia mradi wake wa kompyuta mashuleni unaoendeshwa na
Learning In Sync.
Wanafunzi
wa kidato cha pili wa shule ya sekondari ya Mtakuja iliyopo Kunduchi
Mbezi beach jijini Dar es Salaam,wakimsikiliza mwalimu wao wa masomo ya
Sayansi Elibariki John, akiwafundisha somo hilo kwa vitendo kupitia
kompyuta mpakato zilizotolewa msaada na
Vodacom Foundation miezi mitatu iliyopita kupitia mradi wake wa kompyuta mashuleni unaoendeshwa na Learning In Sync.
Vodacom Foundation miezi mitatu iliyopita kupitia mradi wake wa kompyuta mashuleni unaoendeshwa na Learning In Sync.
0 comments:
Post a Comment