WANAVYUO IRINGA WAPONGEZA SIKU 100 ZA RAIS DR MAGUFULI WATAKA ATUMBUE MAJIPU NGAZI YA CHINI PIA

Katibu wa shirikisho la Vyuo vikuu CCM Mkoa wa Iringa Bi Mariam Fundi akikabidhi msaada kwa Yatima Kituo cha Faraja kata ya Nduli leo 
Katibu wa shirikisho la Vyuo vikuu la CCM Mkoa wa Iringa Mariam Fundi kushoto akikabidhi msaada kwa yatima
Aliyekuwa mgombea Urais katika mchakato wa ndani ya CCM kabla ya kumteua Dr John Magufuli , Bi Monica Mbega akisalimiana na kada wa CCM Kenan Kiongosi leo
Baadhi ya wanavyuo wanaounda shirikisho la Vyuo vikuu Mkoa wa Iringa wakiwa katika Picha ya pamoja na watoto Yatima wa Kituo cha Faraja kata ya Nduli leo
SHARE
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment