Kufuatia kifo cha mwana wa chuoni mkubwa nchini Tanzania na
ulimwenguni kwa ujumla Sheikh Muhammad ibnu Abii Bakaril Burhaan
ambae alikuwa ni mkuu wa chuo cha Shamsul Maarif kilichopo mkoani
Tanga, imeonekana ni busara kufanya dua ya kumuomba Allah
amfanyie wepesi ktk safari yake.
Fikra imekuja sio tuu kwa kukiri mchango wake mkubwa kwa wa- Islam
na u- Islam lakin kwa wanadamu kwa ujumla. Dua imepangwa kufanyika
Jumamosi ya tarehe 19/03/2016 saa nane mchana maeneo ya Barking,
East London ukumbi utatajwa baadae.
Masheikh wengi na wadau mbali mbali wanategemea kuhudhuria na
tunawaomba wote watakao jaaliwa tushirikiane ili kufanikisha jambo hili
tukufu.
Kwa mawasiliano zaidi na yote yanayo husu shughuli nzima wasiliana
kwa namba zifuatazo: 07986142485 au 07904962787 au 07453530218.
Mahudhurio yako ndio mafanikio ya shughuli hii. Mnakaribishwa.
0 comments:
Post a Comment