OFISI YA UHUSIANO, KITENGO CHA MASOKO TANESCO WAELIMISHA UMMA

 Mwanafunzi wa Chuo cha Veta kilichopo Oljoro mkoani Arusha akiuliza swali kwa wataalamu wa TANESCO katika mafunzo hayo.
 Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi  Oldonyo Sambu ya Mkoani Arusha wakiwa na zawadi zao walizopewa na wataalam wa TANESCO kama zawadi za kushiriki vyema katika mafunzo hayo na kujibu na kuuliza maswali, kushoto ni Afisa Mahusiano na Wateja Mkoa wa Arusha Bw.Fred Mbavai.
 Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Mbweni ya jijini Dar es Salaam wakiwa tayari kuwapokea wataalam kutoka TANESCO kwa ajili ya kupokea elimu kuhusu masuala mbalimbali ya umeme.
  Afisa Masoko  Bi. Jenifer Mgendi kutoka Shirika la Umeme (TANESCO)     akitoa zawadi kwa wanafunzi waliojibu maswali vizuri wakati wa utoaji elimu ya masuala ya umeme, katika Shule ya Msingi Tandika ya jijini Dar es Salaam.
SHARE
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment