Mtaalamu wa vifaa bandia na vifaa visaidizi vya watu wenye ulemavu Bw. Richard Mbawa akimwonesha Naibu Waziri (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi namna kifaa cha mguu bandia kinavyofanya kazi wakati wa ziara yake katika Chuo cha Watoto wenye Ulemavu wa Viungo cha YDPC Tanga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Pongwe Bw. Yahya A. Matifa (wa kwanza kulia) akimonesha Naibu Waziri (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi maeneo ya shule hiyo wakati wa ziara yake katika shule za watu wenye mahitaji maalum mkoani Tanga.Januari 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
0 comments:
Post a Comment