Akiwa katika jimbo la Arumeru Magharibi Kinana ameshiriki shughuli mbalimbali za miradi ya maendeleo na kuzungumza na wananchi jimboni humo akiongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.
Kinana akiwahutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Ngaramtoni shule ya msingi, “Sifa ya kwanza ya kiongozi wa ni Uadilifu na sio kujenga barabara wala shule Watu wakuamini kwamba huibi, huwaibii hiyo ndiyo sifa ya kwanza ya kiongozi”Amesema Kinna.
Ameongeza kwamba kiongozi akiharibu kazi atoke nje serikali hii ni ya chama cha mapinduzi hivyo wana CCM wanatakiwa kuwa wa kwanza kuisafisha msingoje mtu kutoka nje aisafishe , Ninaahidi tutachukua hatua zaidi kuisafisha serikali.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishieiki kumwaga zege kwa kutumia toroli wakati alipokagua ujenzi wa daraja la Kisongo wilayani Arumeru.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akirudisha toroli mara baada ya kumwaga zege katika ujenzi wa daraja hilo.
Hili ndilo daraja lenyewe
Nape Nnauye akiongozana na wananchi wa kijiji cha Nduruma wilayani Arumeru wakati alipofika kijiji hapo kusikiliza kero za wananchi.
Mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi Mh. Gudluck Ole Medeye
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kijiji cha Nduruma
Mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi Mh. Gudluck Ole Medeye akizungumza jambo wakati Abdulrahman Kinana kushoto alipotembelea na kukagua ujenzi wa kituo cha afya cha Manyire kata ya Malangarini , wa kwanza kulia ni Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi na wa pili kutoka kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Ole Nangole.
Diwani wa kata ya Mlangarini Mathias Manga akizungumza jambo wakati Abdulrahman Kinana kushoto alipotembelea na kukagua ujenzi wa kituo cha afya cha Manyire kata ya Malangarini , wa kwanza kulia ni Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi na wa pili kutoka kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Ole Nangole.
Nape Nnauye akiongozana na wananchi wa kijiji cha Nduruma wilayani Arumeru wakati alipofika kijiji hapo kusikiliza kero za wananchi.
Diwani wa kata ya Mlangarini Mathias Manga akizungumza jambo wakati Abdulrahman Kinana kushoto alipotembelea na kukagua ujenzi wa kituo cha afya cha Manyire kata ya Malangarini , wa kwanza kulia ni Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi na wa pili kutoka kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Ole Nangole.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kijiji cha Manyire kata ya Mlangarini na kumshukuru diwani wa kata hiyo Bw. Mathias Manga kulia kwa kujenga kituo hicho
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Diwania Mathias Manga wakati alipokagua ujenzi wa kituo hicho.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Diwania Mathias Manga wakati alipokagua ujenzi wa kituo hicho.
Shule ya sekondari ya Sokoni II ambayo Kinana alikagua ujenzi wake pia.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa shule ya Sokoni II wakati alipokagua ujenzi wa shule hiyo.
0 comments:
Post a Comment